Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Uchukuzi

Maktaba ya Picha

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Miundombinu, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wa Nchini Zambia, Mhe. Mhandisi Charles Milupi mjini Lusaka.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yatembelea Mradi wa SGR Sehemu ya Morogoro-Makutupora.
Katibu Mkuu-Uchukuzi, Gabriel Migire awasili mjini Lusaka Zambia kwa ajili ya Kikao cha Baraza la Mawaziri wa TAZARA.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri wa TAZARA mjini Lusaka, Zambia
Katibu Mkuu-Uchukuzi, Gabriel Migire ashiriki katika mdahalo kwenye Kongamano la Biashara na Uwekezaji baina ya Tanzania na Umoja wa Ulaya, jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ashiriki katika kikao cha 43 cha Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kilichofanyika jijini Burundi.