Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Uchukuzi

Maktaba ya Picha

Azimio la Bunge kuhusu DP World Bungeni jijini Dodoma 10-6-2023
Katibu Mkuu Ujenzi Balozi Aisha Amour aongoza kikao kazi kati ya Menejimenti ya Sekta na Menejimenti za taasisi zilizo chini ya sekta ya Ujenzi mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu awaongoza Viongozi wa Kitaifa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Mapokezi ya Ndege aina ya B767-300F jijini Dar es Salaam.
WAZIRI PROF. MBARAWA AWAPONGEZA SCANIA KWA KUTIMIZA MIAKA 50
Katibu Mkuu Uchukuzi, Gabriel Migire awatembelea wanamichezo wa Uchukuzi SC wanaoshiriki katika mashindano ya SHIMIWI 2023 yanayofanyika mkoani Morogoro.
Mkurugenzi Msaidizi wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Sekta ya Uchukuzi Bi Devota Gabriel akifungua kikao kazi cha kufanya tathmini ya mikataba ya utendaji kazi kwa kipindi cha nusu mwaka 2022/2023 kati ya Wizara na baadhi ya wakuu na wawakilishi wa Taasisi 14 zilizo chini ya Sekta ya Uchukuzi,