Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiagiza Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, kuongeza nguvu kwenye Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT),
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),yaridhishwa na ujenzi wa barabara mkoani Njombe.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Miundombinu, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wa Nchini Zambia, Mhe. Mhandisi Charles Milupi mjini Lusaka.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yatembelea Mradi wa SGR Sehemu ya Morogoro-Makutupora.
Katibu Mkuu-Uchukuzi, Gabriel Migire awasili mjini Lusaka Zambia kwa ajili ya Kikao cha Baraza la Mawaziri wa TAZARA.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri wa TAZARA mjini Lusaka, Zambia